Staa wa Kerewa, Nurdin Bilal ‘Shetta’ akipewa dozi ya maji.
Tukio hilo la aina yake lilijiri muda mchache baada ya tafrija
iliyoandaliwa na uongozi wa No Fake Zone ‘NFZ’ kwa ajili ya uzinduzi wa
video mpya ya Linah na kuaga rasmi menejimenti ya Jumba la Vipaji
Tanzania (THT) pande za Kinondoni jijini Dar.
‘Shetta’ aliyelowa chapa chapa.
“Unajua leo ni siku ya kuzaliwa ya Shetta, ikiisha tu hii shughuli
namuita nje na kummwagia maji yeye mwenyewe anajua sisi hatujui,”
alisikika Ommy Dimpoz.
Linah
Sanga akizungumza jambo katika tafrija iliyoandaliwa na uongozi wa No
Fake Zone ‘NFZ’ kwa ajili ya uzinduzi wa video yake mpya.
Baada ya tukio hilo ndipo Shetta alipotoka nje na kukutana na ishu
hiyo ya kummwagia maji kisha Queen Darleen akamaliza mchezo kwa
kummwagia uji.
No comments:
Post a Comment